WhatsApp Image 2023-07-17 at 17.00.49

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Mhe. Dkt Saada Mkuya Salum, Leo Julai 17, 2023 ameendelea na ziara ya kukagua zoezi la ulipaji Pencheni jamii katika vituo vya Wilaya ya Mjini

Mhe.Dkt Saada Mkuya Salum amewataka Masheha wahakikishe kuwa Wazee wanaolipwa Pencheni jamii wanawatambua ili kuepusha udanganyifu

Aidha, baadhi ya wazee hao, wamemshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi Kwa kuwaongezea Pencheni jamii kutoka 20,000 Hadi 50,000/ Kwa Mwezi

Imetolewa na
Kitengo cha Habari na Uhusiano
Ofisi ya Rais Fedha na Mipango
17 Julai, 2023

Tags: No tags

Comments are closed.