DIRA:
Kuwa ni taasisi bora yenye kuhakikisha upatikanaji na matumizi bora ya fedha za Serikali kwa utekelezaji wa mipango yenye kuleta tija kwa maendeleo ya nchi na wananchi.
DHAMIRA:
Kusimamia vyema mipango ya maendeleo ya nchi, kubuni vyanzo vipya vya mapato ya Serikali na kusimamia rasilimali za Serikali kwa kuhakikisha uwajibikaji katika matumizi ya fedha za Serikali.