Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Ofisi ya Rais Fedha na Mipango

Divisheni ya Utekelezaji na Ufatiliaji wa Bajeti

Divisheni ya utekelezaji na ufuatiliaji wa bajeti inashughulika na kusimamia upatikanaji wa taarifa sahihi za mapato na matumizi ya Serikali.

Majukumu ya Divisheni ya Utekelezaji na Ufuatiliaji wa Bajeti

  • Kusimamia taarifa za Mapato na matumizi halisi za Mawizara na Taasisi;
  • Kusimamia utekelezaji wa bajeti ya robo mwaka, nusu mwaka na ya mwaka;
  • Kusimamia utekelezaji wa bajeti ya Serikali;
  • Kubuni mpango kazi na mpango wa maombi ya fedha kwa Wizara na Taasisi za Serikali.
  • Kusimamia uingizwaji wa fedha ndani ya mfumo mjumuwiko wa fedha (IFMS);
  • Kusimamia matumizi kwa kila robo mwaka na kuiwasilisha kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali;
  • Kuratibu utekelezaji wa Bajeti kwa kushirikiana na Ofisi ya Mhasibu Mkuu/ Hazina, Idara ya fedha za nje na Tume ya Mipango;
  • Kubuni mipango kazi wa Idara kwa mashirikiano na divisheni nyengine;
  • Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na mwaka.
Scroll to Top