Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

wizara ya Fedha na Mipango

Habari & Matukio

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar Ndugu Aboud Hasan Mwinyi ameongoza ujumbe wa Tanzania katika kikao cha Makatibu Wakuu wa nchi za Afrika na Korea uliofanyika jijini Seoul nchini Korea. Mkutano huo umefanyika tarehe 1 na 2 Juni, 2026.

Scroll to Top