Divisheni ya mageuzi ya bajeti inashughulika na kusimamia masuala ya sheria katika usimamizi wa fedha za Umma.

Majukumu ya Divisheni ya Mageuzi ya Bajeti

  • Kusimamia masuala ya Sheria katika usimamizi wa fedha za Umma;
  • Kuratibu MTEF na mpango kazi wa Idara kwa mashirikiano na divisheni;
  • Kuandaa ripoti za utekelezaji wa kazi ikiwemo ripoti ya robo, nusu na ya mwaka.
  • Kusimamia uimarishaji wa bajeti ya Serikali;
  • Kubuni mfumo bora wa bajeti unaozingatia program;
  • Kusimamia mageuzi yoyote yanayoigusa bajeti ya Serikali.