DIRA

Kuwa ni taasisi bora yenye kuhakikisha upatikanaji na matumizi bora ya fedha za Serikali kwa utekelezaji wa mipango yenye kuleta tija kwa maendeleo ya nchi na wananchi.

DHAMIRA

Kusimamia vyema mipango ya maendeleo ya nchi, kubuni vyanzo vipya vya mapato ya Serikali na kusimamia rasilimali za Serikali kwa kuhakikisha uwajibikaji katika matumizi ya fedha za Serikali.