IMG-20240212-WA0029

Waziri wa Nchi-Ofisi ya Rais- Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum kuongoza kikao cha Uongozi.

Kikao hicho kimejadili agenda mbalimbali za kimaendeleo kikao hicho pia kimepata fursa ya kumuaga aliekuwa Naibu Waziri Mhe. Ali Suleman Ameir ambae amepata uteuzi na kuwa Waziri wa Ofisi ya Rais Ikulu.

Kikao hicho pia kimepata fursa ya kumkaribisha Naibu Waziri Mhe. Juma Makungu Juma na kuendelea kujadili mada mbalimbali zilizowashilishwa katika kikao hizho cha Uongozi wa Ofisi ya Rais – Fedha na Mipango.

Tags: No tags

Comments are closed.